Ni Nani Aliye Mbora katika Hukmu Kando na Mwenyezi Mungu kwa Watu Wenye Yakini?
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) hatimaye imewaondolea mashtaka yote ya jinai dhidi ya Naibu Rais wa Kenya, William Samoe Ruto na mtangazaji wa redio Joshua arap Sang.