Kuhusu Ziara kwa Waziri wa Maswala ya Kidini
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ziara kwa Waziri wa Maswala ya Kidini
Ziara kwa Waziri wa Maswala ya Kidini
Ualishi wa Kuhudhuria Kongamano Jumuishi la Viongozi wa Makabila, Uongozi Mbali Mbali na Wanachuoni wa Sudan Mashariki
Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Jordan inaomboleza kwa Umma jumla wa Kiislamu, Ndugu Jihad Abdulqadeem Zalloum, mmoja wa mashababu wa Hizb ut-Tahrir, na mtoto wa Amiri wetu na Sheikh aliyetangulia,
Ijumaa tarehe 30 Oktoba 2020,wanaharakati wa Hizb ut-Tahrir/ Kenya walifanya msururu wa maandamano baridi ya kutetea hadhi ya bwana Mtume Muhammad (Rehema na Amani za MwenyeziMungu zimshukie Yeye na Aali zake).
Uislamu Umejengwa Juu ya Fikra Angavu na Hatupaswi Kukubali Chochote Kutoka kwa Watawala Wetu Kinyume na Hivi
“Itawafikia hao walio kosa udhalili na adhabu kali kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa sababu ya vitimbi walivyo kuwa wakivifanya
Kwa kiburi chake cha kawaida, Rais wa Amerika Donald Trump alitangaza kwamba Sudan na umbile la Kiyahudi wamekubali kusawazisha mahusiano.
Siku nyingine shambulizi jengine dhidi ya Uislamu na Waislamu. Kilichokuwa kikiachiwa vyombo vya habari sasa kinazidi kuchukuliwa na wanasiasa.
Eneo la usalama katika mkoa wa Kharouba / Nabeul lilimwita mwanachama wa Hizb ut-Tahrir Najmuddin Shuaibin Jumanne Oktoba 13, 2020 M,
Kulingana na habari zilizochapishwa na tovuti ya Habari za Asia ya Kati mnamo 13/10/2020 chini ya kichwa: "Kyrgyzstan yamkabidhi Muislamu mwingine kwa Uzbekistan),