Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Visimamo vya Halaiki Kumnusuru Mtume Mtukufu (saw)
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Visimamo vya Halaiki Kumnusuru Mtume Mtukufu (saw)
Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Visimamo vya Halaiki Kumnusuru Mtume Mtukufu (saw)
Halaiki ya watu wa mji wa Idlib iliandaa maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Minbar ya Ummah: Maandamano katika Mji wa Idlib Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Halaiki ya watu wa mji wa Salkeen viungani mwa Idlib waliandaa kisimamo cha kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Halaiki ya watu wa kijiji cha Deir Hassan viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Halaiki ya watu wa kijiji cha Felon ilijitokeza katika maandamano ya usiku kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Halaiki ya watu wa kambi za Al-Karamah ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Kujitokeza kwa halaiki ya watu wa viunga vya Hama Kaskazini na Idlib Kusini katika maandamano katika mkusanyiko wa kambi za Al-Karameh,
Uingereza: Kongamano la Kila Mwaka "Kurudi kwa Mfumo wa Kiulimwengu wa Kiislamu"
Kisimamo cha watu wa viunga vya Hama na Idlib katika kambi za Al-Karamah mbele ya Msikiti wa Walinganizi wa Kuwait chini ya anwani: