Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Hajj Abd Al-Raouf Muhammad Alyan Bani Atta (Abu Hudhayfah)
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Jordan inaomboleza kifo cha mbebaji Dawah: Hajj Abd Al-Raouf Muhammad Alyan Bani Atta (Abu Hudhayfah) ambaye alikwenda kwa rehema za Mwenyezi Mungu (swt) jana, Alhamisi 21/10/2021 akiwa na umri wa miaka 60;