Australia: Kisimamo Mbele ya Ubalozi Mdogo wa Ufaransa Kushutumu Matusi kwa Mtume wetu Mtukufu (saw)!
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut-Tahrir / Australia iliandaa kisimamo mbele ya Ubalozi Mdogo wa Ufaransa jijini Sydney / Australia kukemea matusi kwa Mtume wetu mtukufu (saw), na hilo ni pamoja na msimamo wa mara kwa mara wa Ufaransa