Mkasa wa Mashua za Wahamiaji kati ya Njama na Ufisadi wa Mamlaka
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwishoni mwa mwaka wa 2019, hali ya kuporomoka polepole ilianza nchini Lebanon, ambayo watu walipoteza au walikaribia kupoteza maisha yao, na mapato ya watu yakawa rundo la karatasi, na yakiwalisha kwa uchache, mapato ya kila mwezi ya mfanyikazi yakawa kati ya chini zaidi dunia, sawa na dolari moja kwa siku.