Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 366
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 366
Vichwa Vikuu vya Toleo 366
Hizb ut-Tahrir nchini Uswidi iliandaa kisimamo mbele ya Idara ya Uhamiaji ya Uswidi kutaka kusitishwa kwa uhamisho wa Ndugu Odiljon Jalilov,
Mnamo tarehe 1/11/2021 Serikali ya Tanzania ilianza zoezi la kuwahamisha maeneo mengine wafanyabiashara ndogondogo nchini maarufu kama "wamachinga" kufuatia maagizo ya Raisi kwa wakuu wa mikoa na wasaidizi wao.
Wanachama wa Hizb ut Tahrir/ Uingereza walishiriki katika kisimamo cha kuwanusuru Waislamu wa Uyghur mbele ya Ubalozi wa China jijini London, na Ubalozi mdogo wa China jijini Manchester, Jumamosi tarehe 13/11/2021.