Jukumu Letu kama Waislamu kwa Majeraha ya Ummah Yanayochuruzika Damu
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kiwango cha misiba na maafa yanayowakabili Waislamu kutokana na kukosekana Dola ya Khilafah, ambayo ni yenye kuuhifadhi Uislamu na kuukinga dhidi ya njama za maadui kutoka kwa Waislamu, kimekuwa wazi.