Marekani kwa mara Nyengine tena Imelila Sanamu la "Sheria ya Kimataifa"
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Mnamo Jumapili usiku, Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza "mafanikio ya mashambulizi ya mabomu" ya Jeshi la Anga la Marekani katika maeneo matatu muhimu katika mpango wa nyuklia wa Iran.