Nyuma ya Kongamano la Wanazuoni wa Dunia la 2024
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Afisi ya Waziri katika Idara ya Waziri Mkuu (Mambo ya Kidini), kwa kushirikiana na Idara ya Maendeleo ya Kiislamu ya Malaysia (JAKIM) na Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni (MWL) kutoka Saudi Arabia, hivi karibuni iliandaa Kongamano la Viongozi wa Kidini Ulimwenguni la 2024 na Baraza la Wasomi wa Asia la 2024 jijini Kuala Lumpur.