Hamasikeni Kuikomboa Kashmir!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wacha Silaha Zetu za Nyuklia ziwe Nyenzo za Kulinda Bara yetu wakati Simba wa vikosi vya Majeshi yetu Wakiikomboa Kashmir iliyo kaliwa
Wacha Silaha Zetu za Nyuklia ziwe Nyenzo za Kulinda Bara yetu wakati Simba wa vikosi vya Majeshi yetu Wakiikomboa Kashmir iliyo kaliwa
Ama kuhusu kutoa pesa za kutosha kukabili milipuko kama hii, Uislamu umeuzidi sana Urasilimali, mfumo uliopo kwa sasa ulioundwa na mwanadamu ambao unatawala ulimwengu.
Hizb ut Tahrir / Wilaya Pakistan ya andaa kampeni pana ya mtandaoni ya kutaka kuachiliwa huru kwa Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Hizb ut Tahrir / Wilaya Pakistan: Ushuhuda wa Musab Umair Kuhusu Naveed Butt!
Mnamo tarehe 11 Mei 2020 M, ilisadifu kuwa ni kumbukumbu ya nane ya kutekwa nyara Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, ukamataji wake ulitimia katika korokoro za siri za ukandamizaji za vyombo vya usalama.
Kuhusiana na janga la ugonjwa wa virusi vya Korona nchini Pakistan, kutakuwepo na matangazo maalum inshaaAllah mnamo Jumamosi 16 Mei 2020 saa 10:30 usiku (PST)
Video Inayo tokana na Jibu la Swali, “Athari za Virusi vya Korona” la mwanachuoni mkubwa wa fiqh, Sheikh Ata Bin Khalil Abu Al- Rashta, la tarehe 26 Machi, 2020.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan iliandaa kampeni nzito kupitia mitandao ya kijamii kwa kichwa, “#KhilafahHuwakingaWanawake.”
Ikiwa ni sehemu ya kampeni yake kuhusiana na Mpango wa Trump dhidi ya Msikiti Al-Aqsa, Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imesambaza toleo kutoka Hizb ut Tahrir kwa kichwa “Enyi Waislamu! Bali Enyi Majeshi ya Waislamu! Hakika Sisi Tunataka Mtunusuru. Hakika Adui Wenu Trump Amedhihirisha Meno Yake, Basi Panga Zenu Zivunje Meno yake.
Turegeshe Ngao Yetu, Khilafah ili Majeshi Yetu Hatimaye Yaweze Kupaza Sauti za Takbeeraat za Ushindi ndani ya Srinagar na Al-Aqsa