Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

“Fungeni Viwanda vya Pombe” – Uwasilishaji wa Hizb ut Tahrir wa waraka ulikataliwa na Waziri wa Masuala ya Kidini lakini wengine wawili walipokea.

Ujumbe wa Chama ukiongozwa na Msemaji wake Ustaadh Abdul Hakim Othman uliwasili sehemu ya kwanza, yaani afisi ya Waziri katika Idara ya Waziri Mkuu (Masuala ya Kidini), lilikuwa jambo la kuudhi na kukera pale ambapo afisi ilipo kata miadi ya HTM.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Malaysia: Sehemu ya Amali za Kampeni Funga Viwanda vya Pombe, Kukabidhi Barua kwa Mamlaka za Miji

Baada ya majuma mawili ya kuendesha kampeni "Funga Viwanda vya Pombe", , Hizb ut Tahrir / Malaysia (HTM) leo ilikabidhi waraka wa wazi kwa Mamlaka nyingi za Miji kote nchini, ikizisihi kwamba leseni zote za viwanda vya pombe na maduka, zifutiliwe mbali na kusitolewe leseni mpya kwao.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu