Jumatano, 04 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/08/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Australia: Nusra kwa Watu wetu Eneo la Turkestan Mashariki Kisimamo Mbele ya Ubalozi wa China

Katika kujibu shambulizi la kinyama kwa Waislamu wenzetu wa Uighur Mashariki ya Turkistan yaliyo fanywa na serikali ya China, na pia chini ya muongozo wa Mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Australia ulitembelea Ubalozi wa China uliopo jijini Sydney

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / India Bara dogo la India: Kampeni kubwa ya kukumbuka kuanza kwa Vita vya Dunia vya Kwanza na kuvunjwa kwa Khilafah

Hizb ut Tahrir ndani ya Bara dogo la India imeandaa ndani ya siku zijazo kampeni kubwa ya kukumbuka kuanza kwa Vita vya Dunia vya Kwanza ambavyo mwisho wake kulipelekea kuvunjwa kwa Khilafah na kuvunjwa kwa nguzo za Dola ya Kiislamu ambayo ilikuwa imeasisiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) kwa kutumia wasaliti baadhi katika Waarabu waliowakilishwa na khaini Hussein bin Ali na watoto wake na Waturuki wakiwakilishwa na muhalifu wa karne, aliyefariki Mustafa Kamal.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu