Jumamosi, 21 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

“Kuyeyuka kwa Familia” za Mujtamaa wa Kisekula wa Kimagharibi SEHEMU 1: Uhakika wa Kuyeyuka kwa Familia katika Dola za Kisekula za Kimagharibi

Mnamo Aprili 2008, Hakimu Paul Coleridge, jaji anaye husika na mahakama za kifamilia kote Kusini Magharibi mwa Uingereza, alitoa hotuba kwa mawakili wa familia kutoka katika shirika la “Resolution”, ambapo aliyasifu maisha ya familia nchini Uingereza kuwa ni “yenye kuyeyuka” yakidhihirisha janga la kuvunjika kwa familia.

Hatari ya Uvivu na Ukosefu wa Motisha kwa Muislamu

Kila mmoja anaijua hali ambayo mtu anajihisi ulegevu fulani na kutokana na hisia hii inakuwa vigumu kwake kutekeleza majukumu fulani, licha ya kiwango cha umuhimu wa majukumu hayo kwake, ima iwe ni jukumu la Kiislamu, la kimaumbile, matamanio au ghariza, uchungaji watoto, faida ya kiuchumi, masomo au hata majukumu madogo madogo ya nyumbani.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu