Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Maandamano ya Deir Hassan ya Kulaani Utekaji Nyara wa Ustadh Nasser Sheikh Abdul Hai na Maajenti wa Serikali ya Uturuki!

Baada ya swala ya Ijumaa, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Deir Hassan viungani mwa Idlib kulaani utekaji nyara wa vikosi vya usalama vya Hay'at Tahrir al-Sham (maajenti wa serikali ya Uturuki) ya Ustadh Nasser Sheikh Abdul Hai, mwanachama wa afisi ya habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria.

Ijumaa, 06 Safar Al-Khair 1444 H - 02 Septemba 2022 M

Kwa Maelezo Zaidi Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Chaneli ya Telegram ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Akaunti ya Whatsapp ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu