Jumatano, 30 Sha'aban 1444 | 2023/03/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Kampeni kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Khilafah

Katika mwezi wa Rajab Tukufu ya mwaka huu wa 1444 H Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon imezindua kampeni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 Hijria ya kuvunjwa Khilafah kwa kichwa:

“Hali Ingekuwaje Kwetu lau Tungekuwa na Khilafah na Khalifa!?

Ijumaa, 12 Rajab Tukufu 1444 H - 03 Februari 2023 M

[Kalima ya Tarehe 1 Rajab]

- Uchungaji wa Kweli wa Dola kwa Raia -

[Kalima ya Tarehe 2 Rajab]

- Haki ya Kuwahisabu Watawala -

[Kalima ya Tarehe 3 Rajab]

- Je, Khilafah itabaki kuwa Ardhi inayokaliwa kwa Mabavu? -

[Kalima ya Tarehe 4 Rajab]

- Uchumi wa Kweli wa Dola ya Khilafah wenye Kupambana na Mfumko wa Bei -

[Kalima ya Tarehe 5 Rajab]

- Vyombo vya Habari katika Dola ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 6 Rajab]

- Haiba ya Dola ya Khilafah kati ya Dola Nyenginezo -

[Kalima ya Tarehe 7 Rajab]

- Khilafah na Riba -

[Kalima ya Tarehe 8 Rajab]

- Suluhisho la Mwisho la Umasikini katika Dola ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 9 Rajab]

- Khilafah Itakabiliana vipi na Majanga -

[Kalima ya Tarehe 10 Rajab]

- Saumu ya Waislamu ndani ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 11 Rajab]

- Cheo cha Mwanamke ndani ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 12 Rajab]

- Idadi ya Walio Wachache ndani ya Dola ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 13 Rajab]

- Umoja, Izza, Hadhara nk -

[Kalima ya Tarehe 14 Rajab]

- Kutii Amri ya Mwenyezi Mungu (SWT), maisha yenye heshima, ukombozi wa nchi, na mwavuli wa haki kwa wanadamu -

[Kalima ya Tarehe 15 Rajab]

- Hivi ndivyo tutakavyokuwa lau kungekuwa na Khilafah na Khalifa baina yetu! -

Basi njooni mufanye kazi pamoja na Hizb ut Tahrir kusimamisha Khilafah na kumteua Khalifa, hilo litatokea hivi karibuni, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu

[Kalima ya Tarehe 16 Rajab]

- Mfano wa Ummah wangu ni ule wa mvua; Haijulikani kheri yake iko mwanzo wake au mwisho wake -

Chini ya kivuli cha migogoro na majanga yanayousibu Ummah wetu, Mtume (saw) amesema:

(أمَّتي كالمطرِ لا يُدرى أولُّه خيرٌ أم آخرُه)

"Mfano wa Ummah wangu ni ule wa mvua; Haijulikani kheri yake iko mwanzo wake au mwisho wake"

- Khilafah ni Izza na njia ya wokovu kwa wanadamu -

Video iliyoonyeshwa wakati wa semina ya wanawake iliyofanyika kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 ya kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah kwa kichwa, "Khilafah ni Izza na na njia ya wokovu kwa wanadamu "

- Alama Ishara za Kampeni -

#Time4Khilafah

#EstablishKhilafah

#ReturnTheKhilafah

#TurudisheniKhilafah

#KhilafahBringsRealChange

#بالخلافة_يحصل_التغيير_الحقيقي

أقيموا_الخلافة#

كيف_تقام_الخلافة#

#YenidenHilafet

 #HakikiDeğişimHilafetle

Kwa Mengi Zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Ukurasa wa Facebook wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu