Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

Risala za Dharura kuhusu Uhalifu na Ukiukaji wa Hay'at Tahrir Ash-Sham!

Risala zilizotolewa na kundi la wabebaji Da’wah zilizoelekezwa kwa Hay’at Tahrir Ash-Sham (HTS) baada ya kuvamia nyumba za wabebaji Dawah na kuwakamata mashababu kadhaa wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria kwa njia ya kishenzi, ukiukaji utukufu, katika mandhari ya kutisha iliyo mbali na maadili ya Uislamu na Waislamu.

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Ijumaa, 22 Shawwal 1444 H sawia na 12 Mei 2023 M

Ujumbe kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir Mwanachuoni Mkubwa Ata bin Khalil Abu Rashtah

Kwenda kwa Wabebaji Da’wah Wanaotangaza Haki katika Ardhi ya Ash-Sham Iliyobarikiwa

Jumanne, 17 Dhu al-Qa’adah 1444 H sawia na 06 Juni 2023 M

Ili kusoma Maandishi ya Kalima Bonyeza Hapa

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake “Ujumbe kwenda kwa Ndugu waliyomo ndani ya Hay’at Tahrir Ash-Sham!”

Umewasilishwa na Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Jumatatu, 08 Dhu al-Hijjah 1444 H sawia na 26 Juni 2023 M

Wito wa Kuihami Heshima ya Dada Zetu Waislamu nchini Syria!

Umewasilishwa na Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Ujumbe kwa Waislamu nchini Syria!

Umewasilishwa na Ustadha Zahra Malik

Mwanachama wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Kutoka Tunisia Ardhi ya Zaituna na Ngome ya Uislamu kwenda kwa Watu wa Syria!

Imewasilishwa na Ustadha Zainab Al-Dajbi

Mwanachama wa Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir katika Wilayah Tunisia

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Kutoka Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa kwenda kwa Hay’at Tahrir Ash-Sham

Kalima Kutoka Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa kwa Fadhila za Sheikh Issam Ameira (Abu Abdullah)

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Kwa Jamaa wa Ash-Sham!

Kalima ya Mhandisi Shahzad Sheikh

Naibu Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Kutoka Tripoli Ash-Sham hadi kwa Wanamapinduzi wa Ash-Sham!

Kalima ya Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Risala kutoka kwa Kitengo cha Wanawake kuhusu Uhalifu na Ukiukaji wa Hay'at Tahrir al-Sham!

Kalima kutoka Tripoli Ash-Sham kwa Hay’at (Tahrir) Ash-Sham kuhusu ukiukaji ambao imeufanya kwa wabebaji da’wah, wanawake na wanaume, kwa kuwakamata na kuvamiwa nyumba

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Enyi Waheshimiwa wa Kundi la Hay'at kuweni Pamoja na Wakweli!

Kalima ya Sheikh Dkt. Muhammad Ibrahim

Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Enyi Watu wa Ash-Sham: Njama ni Chafu na yenye Hila!

Kalima ya Mhandisi Baher Swaleh

Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Risala kutoka Gaza Al-Hashim… Kwenda kwa Watu wa Ash-Sham

Kalima ya Ustadh Khaled Said

Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

“Heri Kifo kuliko Udhalilifu” ndio Kauli Mbiu Iliyoanzisha Mapinduzi… Na al-Julani anayavisha Taji la Udhalilifu!

Kalima kutoka Tripoli, Ash-Sham, na Ustadh Ahmad Al-Qasas

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Risala kwenda kwa Kundi la Hay'at Tahrir Ash-Sham

Kalima kutoka Wilayah Jordan ya Sheikh Abu Salim Al-Sakhri

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Risala ya Dharura kutoka Al-Khadra (Tunisia) hadi Ash-Sham

Kalima ya Ustadh Khubaib Karabaka

Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Tunisia

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Kwa Dhalimu wa Mapinduzi… Kamwe Hatutapiga Magoti ila kwa Mwenyezi Mungu Pekee!

Kalima ya Ustadh Ahmad Abdulla (Abu Mustafa)

Mwanachama wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Hatari Inayokuja Nyuma ya Ukamataji wa Kundi la Hay'at Tahrir Ash-Sham wa Mashababu wa Hizb ut Tahrir na Wengineo!

Kalima ya Dkt. Muhammad Malkawi

Mwanachama wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Jordan

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Risala kutoka Kitengo cha Wanawake katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

- Risala ya Kwanza -

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

- Risala ya Pili -

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

- Risala ya Tatu -

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

- Risala ya Nne -

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

- Risala ya Tano -

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Ujumbe kutoka Lebanon hadi kwa Wanyoofu Waliobakia katika Hay’at Tahrir Ash-Sham

Kalima kutoka Tripoli Ash-Asham na Sheikh Ahmad Al-Shamali

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Ukombozi wa Ash-Sham ni kutokana na Matwaghut, sio Wabebaji Da’wah, Ewe Al-Julani!

Kalima kutoka Tripoli Ash-Asham na Sheikh Ahmad Al-Sufi (Abu Nizar Ash-Shami)

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Ni kwa Manufaa ya Nani Nyinyi Kuwashambulia wenye Ikhlasi?

Kalima kutoka Tripoli Ash-Asham na Ustadh Ahmad Al-Abdullah

#منتهك_الحرمات_عراب_المصالحات

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu