Tangazo la Matokeo ya Mwandamo wa Mwezi wa Ramadhan 1441H
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Habari muhimu
Habari muhimu
Kalima ya Ustadh Abdul Haleem Zalloum (Abu Al-Waleed) Mwanachama wa Hizb ut Tahrir kuhusu Urongo wa Wazi Kabisa unao zunguka kwa kunasibishwa na Jina Lake na Kun'ya yake katika Mitandao ya Kijamii
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwafikishia wafuasi na wanao zuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari CD mpya kwa anwani: CD ya Gazeti la Al-Raya Toleo la 4 (Nambari 171 - 270)
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 45 - Khilafah Rashida kwa njia ya Utume
Virusi vya korona (Covid-19) vimeenea ulimwenguni mashariki na magharibi, vimesimamisha mambo ya kimaisha ya kila siku, na watu wenyewe wametii kujifungia ndani majumbani mwao kwa hofu ya maambukizi
Runinga ya Al-Waqiyah ilifanya mahojiano mbali mbali na wazee kutoka kwa Mashabab wa Hizb ut Tahrir kutoka maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo walisisitiza kwamba wao wako imara juu ya ukweli, haijalishi uzito wa majanga, na kwamba wako njiani, haijalishi urefu wa barabara, lengo lao liko wazi na njia wanayotumia imekamilika…
Mwaka 2020 unaadhimisha miaka 25 ya Azimio la Beijing na Mpango wa Utendaji (BPfA), ni waraka mpana ambao ulikuwa ni matokeo ya Kongamano la Kiulimwengu la nne la UN kuhusiana na Wanawake lililofanyika mnamo Septemba 1995, huko Beijing, Uchina.
Katika mwezi wa Rajab al-Muharram wa Mwaka huu 1441 H sawia na 2020M na katika kukumbuka kwa majonzi namna wahalifu walivyoivunja Dola ya Kiislamu na kuuondosha utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo 28 Rajab al-Muharram 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwapatia wafuasi wake na wote wanao zuru tovuti za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya kabisa yenye kichwa: “Ukombozi wa Konstantinopoli Bishara Njema Ikatimia …Inafuatiwa na Bishara Njema Nyingine!”
Imenijia katika fahamu kwamba, jina hili Abdullah Abdullah, ambaye hakutaka kuliweka wazi jina lake la kweli, na ambaye amekuwa akikishambulia chama na uongozi wake,