Wilayah Pakistan: Turegeshe Ngao Yetu!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Turegeshe Ngao Yetu, Khilafah ili Majeshi Yetu Hatimaye Yaweze Kupaza Sauti za Takbeeraat za Ushindi ndani ya Srinagar na Al-Aqsa
Turegeshe Ngao Yetu, Khilafah ili Majeshi Yetu Hatimaye Yaweze Kupaza Sauti za Takbeeraat za Ushindi ndani ya Srinagar na Al-Aqsa
Hizb ut Tahrir / Scandinavia iliandaa Kongamano la kila mwaka kwa anwani: “Uislamu baina ya Upotoshaji na Ukweli”
Hotuba ya Dkt. Mohamed Ibrahim, Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Wilaya Lebanon katika Maandamano, ambapo alialikwa na jamaa za wafungwa wa Kiislamu jijini Tripoli – Uwanja wa Nour.
Uvamizi haramu na wa kinyama wa Kashmir kwa mara nyignine umeletwa mbele za dunia, baada ya tangazo la kubatilisha cheo maalum cha Kashmir iliyovamiwa na kufutwa kwa Kipengee 370 cha Katiba ya India na serikali ya India.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi wake na wanaozuru tovuti zake msururu wa picha kwa kichwa “Kalenda ya Matukio ya Historia ya Kashmir na Uvamizi Wake Kutoka Kwa India,”
Wakati ambapo Waislamu wanataabika na kuhisi kutokuwepo kwa ngao yao, Khilafah, Hizb ut Tahrir Wilayah Pakistan imeanzisha Kampeni ya Twitter ili kuwataka simba wa Vikosi vya Kijeshi vya Pakistan kutoa Nussrah kwa Hizb ut Tahrir ili kusimamisha Khilafah ili hatimaye waweze kuunganishwa katika ukombozi wa Kashmir iliyo Vamiwa, na kwenda kuikomboa Al Aqsa Al Mubarak.
Mnamo 15 Agosti 2019, gazeti la UK, The Telegraph liliripoti kuhusu utekaji nyara unaotamausha wa watoto wa Kashmir kufuatia jaribio la India kuliteka eneo ililolivamia la Kashmir.
Kalima za Mashabab wa Hizb ut Tahrir Wilaya Lebanon wakati wa mikao iliyo andaliwa katika maeneo ya Al Fawra na Jabal Terbol inayo pinga maporomoko ya taka katika maeneo haya.
Inatoa mwito kwa majeshi ya Waislamu ili kuikomboa Kashmir na ardhi nyingine zilizovamiwa na Waislamu.
Katika munasaba wa Idd al-Adha 1440 H, Hizb ut Tahrir / Wilaya Lebanon iliandaa Matembezi ya Takbeer na Tahleel ambayo yalipita katika maeneo mbalimbali ya kaskazini mwa Lebanon.