Utaifa Ndio Msukumo wa Mgawanyiko wa Umwagikaji Damu katika Ardhi za Waislamu
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Yaliyotokea Srebrenica kipindi cha vita vya Bosnia, yaliyopelekea kuibuka kwa msamiati wa kisiasa wa "Balkanization", lilikuwa ni doa jeusi katika historia ya siasa za kileo.