Ummah wa Kiislamu Sio Dhaifu Kusimamisha Khilafah
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mamia ya miaka imepita tokea kuvunjwa kwa ngao ya Ummah, Khilafah. Tokea muda huo, makafiri wakoloni wamekuwa wakifanya kazi usiku na mchana kuzuia kurudi tena kwa Khilafah.