Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Minbar ya Ummah: Kisimamo cha Kulaani katika Mkusanyiko wa Al-Karama "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu"

Kisimamo cha kulaani katika mkusanyiko wa Al-Karama - viungani mwa Idlib chini ya anwani "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu" dhidi ya mauaji ya kidhulma na kiuadui ya mtoto "Ridhwan Sattam Al-Obaid" na askari wa Kituruki.

Jumanne, 16 Muharram Al-Haram 1443 H sawia na 24 Agosti 2021 M

Kumbuka: "Minbar ya Ummah" ni kituo maalumu kinachopeperusha rekodi zilizochaguliwa za Khilafah zilizoandaliwa na watoto wa Ummah wetu. Rekodi hizo hazikutolewa na Hizb ut Tahrir au vitengo vyake rasmi; bali ni rekodi kutoka kwa watoto wa Ummah wa Kiislamu; ambazo zinapeperushwa katika tovuti yetu ili kueneza kheri kwa ajili ya Uislamu na Waislamu.

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu