Sudan ni Milki ya Hadhara Tukufu Zaidi Iliyowahi Kujulikana Katika Historia
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika makala ya maoni ya Al-Burhan, yaliyochapishwa na jarida la ‘American Wall Street Journal’ mnamo 26 Novemba 2025, aliandika yafuatayo: “Sudan ni nchi yenye kumbukumbu ndefu: Historia yetu inaanzia Ufalme wa Kush wa kibiblia...”



