Matokeo ya Utawala wa Urasilimali na Demokrasia kwa Waislamu na Walimwengu Wote
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Miaka 100 imepita tokea tarehe 28 Rajab ya 1342 H, ambapo Khilafah ya Uthmaniya, iliokuwa mrithi wa Dola ya Kiislamu iliyoasisiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika Madinatul Munawwarah, kuvunjwa.