Australia: Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Australia: Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah
Australia: Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah
Hizb ut-Tahrir / Australia iliandaa kisimamo mbele ya Ubalozi Mdogo wa Ufaransa jijini Sydney / Australia kukemea matusi kwa Mtume wetu mtukufu (saw), na hilo ni pamoja na msimamo wa mara kwa mara wa Ufaransa
Al-Waqiyah TV: Ujumbe wa Haraka "Risala kwa Maafisa na Wanajeshi!"
"Ummah Wenu ni Mtukufu: Msiudunishe!"
Iliyotolewa na: Mhandisi Ismail Al-Wahwah
Iliyotolewa na Ismail Al-Wahwah (Abu Anas)
Ujumbe kutoka kwa Kaka Ismail al Wahwah (Abu Anas), Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Australia, mbele ya Makao Makuu ya Waziri Mkuu wa Malaysia kuhusiana na kongamano ndani ya Kuala Lumpur.
Hizb ut Tahrir Australia iliandaa warsha ambapo Mh. Ismail al Wahwah (Abu Anas), Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Australia, aliwasilisha kichwa cha warsha, “Ufahamu juu ya Mapinduzi ya Watu ndani ya Ulimwengu wa Kiislamu.”
Katika kujibu shambulizi la kinyama kwa Waislamu wenzetu wa Uighur Mashariki ya Turkistan yaliyo fanywa na serikali ya China, na pia chini ya muongozo wa Mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Australia ulitembelea Ubalozi wa China uliopo jijini Sydney
Kama sehemu ya mfululizo wa amali ambazo Hizb ut Tahrir nchini Australia iliandaa kumuunga mkono ndugu Ismail al Wahwah (Abu Anas), Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir nchini Australia, ambaye amewekwa kizuizini na huduma za usalama za serikali ya Jordan alipo wasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Malkia Alia mnamo Jumatano 25/7/2018.