Jumamosi, 18 Shawwal 1445 | 2024/04/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kisha Nini Kinachofuata, Enyi Waislamu? Je! Mnasubiri nini baada ya kushuhudia kile kilichotokea huko Gaza? Je! Sio wakati wa nyinyi kusonga na kuitikia amri ya Mola wenu Mlezi kwa kusimamisha Khilafah Rashida?

Mwenyezi Mungu (swt) amenasibisha kati ya Masjid Al-Haram na Masjid Al-Aqsa katika uhusiano wa kiitikadi, wa milele katika Quran yake hadi Siku ya Kiyama. Walakini, inaomboleza na inaita mchana na usiku kwa ajili ya ukombozi wake kutoka kwa uvamizi wa umbile la Kiyahudi, mbele ya macho na masikio ya watawala wa Ruwaibidha (watepetevu) wa makasri, lakini hakuna wa kujibu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu