Taharuki Kati ya Ethiopia na Eritrea Inazifanya Kuwa Shabaha Rahisi kwa Dola za Kikoloni
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Inaonekana kwamba mahasimu hao wawili wa muda mrefu, Ethiopia na Eritrea, wanaelekea kwenye vita, huku vitisho kati yao vikiongezeka na vikosi vinahamasishwa kwenye mpaka wao wa pamoja. Taharuki kati ya Ethiopia na Eritrea inachochewa zaidi na masuala matano: