Ziara za Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon kwa Wabunge
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe kutoka Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon, unaojumuisha Dkt Muhammad Jaber na Mhandisi Saleh Salam, kama sehemu ya kampeni ya kuwatembelea wabunge, walimtembelea Mbunge Dkt. Imad Al-Hout jijini Beirut kwa takriban saa moja.