Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ajenda na Genge la (LGBTQ) ni Matunda Mabovu ya Mfumo Muovu wa Kirasilimali

Januari 6 mwaka huu mwili wa Edwin Chiloba mwenye umri wa miaka 24 mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Eldoret, ulipatikana ndani ya sanduku ukiwa umeshindiliwa vitambara mdomoni na puani mwake. Kifo chake kimezuwa gumzo ndani na nje ya nchi haswa katika vyombo vya habari na katika mitandao ya kijamii kwa sababu Chiloba ni mtetezi wa LGBTQ+

Soma zaidi...

Demokrasia: Tumekomeka!

Huu utakuwa ni uchaguzi wa bunge la kumi na mbili na kama ilivyo ada miungano ya kikabila chini ya mwavuli wa vyama vya kisiasa imebuniwa huku vigogo wa miungano hiyo wakimwaya pesa wakidanganya watu kwa kuwasihi kushiriki kwenye uchaguzi. 

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu