Jumapili, 11 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Je, Marekani Inazingatia Mtindo wa Uturuki kwa Pakistan?!

Balozi wa zamani wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Zalmay Khalilzad alinukuu tweet, "Pengine maafa yanaweza kuepukwa, lakini ikiwa tu mambo 2 yatatokea. Mkuu wa Jeshi Munir anahitaji kujiuzulu, na uchaguzi lazima kutangazwa kwa tarehe maalum. Bila ya la kwanza, la pili haliwezekani. Bila hatua hizi mzozo wa kiuchumi, kisiasa na usalama wa Pakistan utazidi kuwa mbaya.” (The Tweet)

Soma zaidi...

‘Matumizi ya Ubaguzi wa Rangi kama Chambo cha Kisiasa’ Ni Ala Nyengine Tena ya Kuchukiza ya Siasa Chafu za Kisekula

Katika wiki za hivi karibuni, vyombo vya habari vya Uingereza vimeangazia matumizi ya  ‘ubaguzi wa rangi kama chambo chakisiasa’ na mawaziri mbalimbali katika serikali ya Uingereza ili kupata uungwaji mkono kutoka kwa wapiga kura wa mrengo wa kulia na chuki dhidi ya wapiga kura wenye asili ya kigeni.

Soma zaidi...

Tajikistan: Ndevu zina Maana ya Kisiasa

Aprili 26: Mkuu wa Kamati ya Mambo ya Vijana na Michezo ya Tajikistan Abdullo Rakhmonzoda, alikashifu wanablogu wenye ndevu katika mkutano mmoja wa ndani akisema kwamba "upigiaji upatu wa ndevu katika mitandao ya kijamii unatishia usalama wa taifa"."Harakati iliyopigwa marufuku ya Taliban, ambayo ilipindua serikali ya watu nchini Afghanistan, sasa inapigia debe ndevu kwa bidii.

Soma zaidi...

Anayechukua maagizo kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Hutawala kwa Mujibu wa Uislamu, Sio kwa Mujibu wa Usekula na Demokrasia, Ewe Erdogan!

Je, Bw Kemal na wafuasi wake wanapata wapi maagizo yao? Kutoka kwa magaidi huko Kandil. Na sisi tunapokea maagizo kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Je, mnamo tarehe 14 Mei, tuko tayari kuwazika wale wanaochukua maagizo kutoka mlimani? Sina shaka na hilo.

Soma zaidi...

Chini ya Mfumo Uliofeli wa Kirasilimali, Wakristo Wanakuwa Mawindo Rahisi ya Wahalifu

Polisi wa Kenya walimkamata mwinjilisti wa televisheni wa Kenya mwishoni mwa Aprili, 2023 na kufikishwa mahakamani Ijumaa tarehe 28 Aprili 2023 baada ya ripoti za "mauaji ya halaiki ya wafuasi wake," Waziri wa Mambo ya Ndani Kithure Kindiki alisema, huku mamlaka zikichunguza vifo vyengine vingi vinavyohusishwa na ibada za kundi la kidini kutoka eneo hilo hilo.

Soma zaidi...

Kwa kuogopa Kuondolewa Madaraka Haraka, Serikali ya Hasina imejisalimisha kwa matakwa ya Marekani kupitia kutangaza mtazamo wake rasmi wa Indo-Pasifiki

Bangladesh mnamo Jumatatu ilifichua rasmi mtazamo wake wa nukta 15 za Indo-Pasifiki unaotazamia kuwepo kwa Indo-Pasifiki huru, wazi, yenye amani, salama, na jumuishi siku moja kabla ya kuanza kwa ziara ya mataifa matatu ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina nchini Japan, Marekani na Uingereza.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu