Jumapili, 18 Dhu al-Qi'dah 1445 | 2024/05/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Badala ya Kuwaita Mabalozi, Viota vya Ugaidi, hadi Wizarani, Wanapaswa Kufukuzwa Mara Moja

Uturuki: Mabalozi wa nchi 9, zikiwemo nchi zilizosimamisha kazi za ubalozi wao nchini Uturuki kwa kisingizio cha tishio la vitendo vya kigaidi, waliitwa kwa Wizara ya Mambo ya Nje. Mabalozi hao waliambiwa kwamba "Vitendo kama hivyo vya wakati mmoja havijumuishi njia ya usawa na ya busara."

Soma zaidi...

Wako wapi Wanaume?

Mwanachuoni, Sayyid Qutb, katika kitabu chake kwa jina, “Katika Kivuli cha Qur’an” kuhusiana na aya: ﴾وَإِذۡ قَالَ رَبُّكَ لِلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةِ إِنِّى جَاعِلٌ۬ فِى ٱلۡأَرۡضِ خَلِيفَةً۬﴿ “Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia malaika, ‘Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi).’”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu