Alhamisi, 26 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari

Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari

Jumanne, 24 Rabi' I 1447 - 16 Septemba 2025

Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na masuala ya umma kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari ambao msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan atazungumza, kwa kichwa: “Taarifa ya Miezi Mitatu na Ubwana Uliopotea”

Matoleo

Amerika inaharakisha Mpango wake wa Kulitenganisha Eneo la Darfur Hakuna Suluhisho Isipokuwa kwa Kuufanya Umoja wa Dola kuwa Suala Nyeti

Amerika inaharakisha Mpango wake wa Kulitenganisha Eneo la Darfur Hakuna Suluhisho Isipokuwa kwa Kuufanya Umoja wa Dola kuwa Suala Nyeti

Jumanne, 18 Safar 1447 - 12 Agosti 2025

Tangu utawala wa Trump kuchukua faili ya Sudan baada ya kuchukua uongozi mnamo Januari 2025, imekuwa ikiongoza harakati za kijeshi na kisiasa nchini Sudan, ikishinikiza kujitenga kwa eneo la Darfur. M...

Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru

Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru

Ijumaa, 14 Safar 1447 - 08 Agosti 2025

Gaza Hashim inaingia katika hatua mpya ya mauaji na uharibifu baada ya wizara ya usalama ya umbile halifu kuamua asubuhi ya Ijumaa hii, 08/08/2025, kupanua operesheni zake ili kuweka udhibiti wake juu...

Habari za Dawah

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Jumatatu, 10 Safar 1447 - 04 Agosti 2025

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya kimataifa kuangazia maafa yanayozidi kuwa mabaya ya kibinadamu yanayowakabili Waislamu wa Sudan. Kampeni hii pia...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kisimamo cha Port Sudan kwa ajili ya Kufelisha Mpango wa Kuitenganisha Darfur

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kisimamo cha Port Sudan kwa ajili ya Kufelisha Mpango wa Kuitenganisha Darfur

Ijumaa, 20 Rabi' I 1447 - 12 Septemba 2025

Kisimamo kilichofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayat Sudan ili kufelisha mpango wa kuitenganisha Darfur kilipokelewa kwa maingiliano makubwa, ikiwemo takbir, tahlil, na kuungwa mkono, pamoja na uhamasisha...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh: Kongamano la Kisiasa “Bangladesh 2.0: Utegemezi au Ukombozi?”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh: Kongamano la Kisiasa “Bangladesh 2.0: Utegemezi au Ukombozi?”

Ijumaa, 27 Rabi' I 1447 - 19 Septemba 2025

Hizb ut Tahrir/Wilayat Bangladesh yaandaa kongamano la kisiasa lenye kichwa: “Bangladesh 2.0: Utegemezi au Ukombozi?” ...

Kama sehemu ya kampeni iliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayat Sudan kukwamisha mpango wa kutenganisha Darfur, Hizb ilifanya Visimamo katika miji kadhaa ya Sudan

Kama sehemu ya kampeni iliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayat Sudan kukwamisha mpango wa kutenganisha Darfur, Hizb ilifanya Visimamo katika miji kadhaa ya Sudan

Jumamosi, 21 Rabi' I 1447 - 13 Septemba 2025

Kama sehemu ya kampeni iliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayat Sudan kukwamisha mpango wa Marekani wa kuichana nchi hii kwa kuitenganisha Darfur na Sudan, hizb ilifanya kisimamo katika Msikiti wa Al-A...

Habari

Matarajio Yasio na Msingi: Nchini Uzbekistan, Mhubiri Aliyetoka Nchini Uturuki Ashtakiwa

Matarajio Yasio na Msingi: Nchini Uzbekistan, Mhubiri Aliyetoka Nchini Uturuki Ashtakiwa

Jumamosi, 21 Rabi' I 1447 - 13 Septemba 2025

Mahakama ya Jinai ya Wilaya ya Uchtepa ya Tashkent ilianza kusikiliza mnamo Agosti 19 kesi ya jinai dhidi ya mtu wa dini Alisher Tursunov, anayejulikana kwa umma kwa jina bandia la Mubashshir Ahmad. H...

Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark Ajifanya Kuijali Palestina, Huku Mikono Yake Ikiloa Damu ya Watu Wasio na Hatia wa Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark Ajifanya Kuijali Palestina, Huku Mikono Yake Ikiloa Damu ya Watu Wasio na Hatia wa Gaza

Ijumaa, 20 Rabi' I 1447 - 12 Septemba 2025

Tarehe 07-09-2025, Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark, Lars Løkke Rasmussen, alisafiri hadi Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kukutana na marafiki zake na wenzake Wazayuni “kuonyesha kujali” na “kuti...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu