Kama Sehemu ya Kampeni ya “Waislamu Dhidi ya Uhalalishaji Mahusiano”…
Jumatatu, 17 Dhu al-Qi'dah 1447 - 04 Mei 2026
Kwa kuzingatia mamlaka ya Lebanon kushiriki katika mazungumzo ya moja kwa moja ambayo hakika yatapelekea katika amani na uhalalishaji mahusiano na umbile nyakuzi na halifu la Kiyahudi, na kama sehemu ya kampeni ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon kuwatembelea wanasiasa, mamufti, wasomi, nyanja ya kisiasa, na watu mashuhuri, wajumbe kutoka Kamati Kuu ya Mawasiliano na kamati za shughuli za kikanda walifanya ziara. Hizi zilianza katika mji wa Sidon kusini mwa Lebanon kwa ziara ya Mbunge Dkt. Osama Saad, Katibu Mkuu wa Shirika Maarufu la Wananasseristi, na ziara ya Mufti wa Sidon na wilaya zake, Sheikh Salim Sousan. Hii ilifuatiwa...
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 598
Vichwa Vikuu vya Toleo 598
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Dada Lamya bint Bashar
Mnamo Jumatano tarehe 12 Dhu al-Qa‘dah 1447 H sawia na tarehe 28 Aprili 2026 M,…
Jibu la Swali: Vita dhidi ya Iran
Je, ni nini maana ya kauli za Trump zenye kusitasita—kutoa Iran masaa 48, kisha siku…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kongamano la kila Mwaka…
Mnamo Jumamosi 02 Mei 2026 M, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kongamano la…




