Mpango wa Trump ni Sumu Hatari, Ukaliaji Kimabavu wa Marekani…
Jumanne, 8 Rabi' II 1447 - 30 Septemba 2025
Kujisalimisha na kutoa silaha, kuregeshwa kwa mateka na mabaki ya wafu, na uvamizi unaoongozwa na Marekani, inayoongozwa na Trump kwa jina la Baraza la Amani, likisaidiwa na mwenye chuki dhidi ya Uislamu, Tony Blair, na kutekelezwa na tawala za eneo hili – hizi ndizo sifa za mpango mpya wa Trump, ambao aliutangaza. Amewashukuru viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu na washirika wake barani Ulaya kwa mwitikio wao wa dhati kwake, na kutangaza kuwa viongozi wa eneo hilo wanashiriki kikamilifu katika mpango huo wa amani.
Musibabaishwe na Mikutano, Fungueni Mipaka
Katika Mkutano wa Kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na Ligi ya Nchi…
Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya…
Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tunafuraha kuwaalika ndugu wanahabari, wanasiasa, na wale…
Kilio kwa Wabebaji Dawah “Mulikuwa wapi Muda wote huu?!”
Katika ghururi ya maisha na kutojali kwa jamii, neno moja pekee linabaki kuwa na uwezo…
Enyi Wanajeshi wa Misri (Kinana): Vivuko vya Gaza havihitaji Malori,…
Hali ya kibinadamu mjini Gaza imefikia viwango vya maafa ambavyo havijawahi kushuhudiwa. Idadi ya vifo…
Msimamo kwa Sherehe za Maadhimisho ya Mapinduzi Mawili ya Septemba…
Katika mwezi wa Septemba wa kila mwaka Yemen ina matukio mawili; la kwanza mnamo tarehe…