Jeshi la Bangladesh Lazima Likatae Kuwa Rafiki wa Wakoloni kwa…
Jumatatu, 24 Jumada II 1447 - 15 Disemba 2025
Jeshi la Bangladesh linathibitisha shambulizi baya la droni kwenye kambi ya Umoja wa Mataifa katika eneo la Abyei nchini Sudan mnamo 13 Disemba 2025. Shambulizi hili liliwaua walinda amani sita wa Bangladesh na kuwajeruhi wengine wanane. Wakati huu wa kuhuzunisha moyo hauhitaji maombolezo tu, bali pia tathmini mpya muhimu ya misheni ambayo kwayo walitoa maisha yao.
Mashirika ya Mamlaka ya Palestina na Majambazi Wao Yamkamata Mwanafunzi…
Mamlaka ya Palestina (PA), ambayo ni tiifu kwa Mayahudi, ilimkamata mwanafunzi Saif Abu al-Hawa alipokuwa…
Mgogoro wa Uhaba wa Maji Dar Es Salaam
Mnamo Jumapili 14 Disemba 2025, Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam…
‘Mkataba wa Mageuzi ya Julai: Udanganyifu Mkubwa’: Hizb ut Tahrir…
Katika kujibu hotuba ya hivi karibuni ya Mshauri Mkuu Profesa Yunus kuhusu utekelezaji wa Mkataba…
Mamlaka ya Kihalifu ya Palestina, ikiwemo Wizara ya Masuala ya…
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Masuala ya Wanawake ilifichua kwamba Wizara hiyo ilifanya warsha pamoja…
Moyo wa Hebron na Msikiti wa Ibrahimi Wafanywa Kuwa wa…
Baada ya umbile la Kiyahudi kuamua kuhamisha mamlaka ya kiidara ya Msikiti wa Ibrahimi kutoka…




