Mabadiliko katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir /…
Jumanne, 1 Muharram 1448 - 16 Juni 2026
Tunawajulisha kwamba Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria sasa ni Ustadh Ali Mustafa Al-Bakri, kuanzia 1 Muharram 1448 H, sawia na 16/06/2026 M, pamoja na shukrani za dhati kwa Ustadh Ahmad Abdul Wahhab kwa juhudi zake na kujitolea kwake katika miaka yake uongozi wa afisi hii.
Mwaka Mpya wa Hijri Sio Maadhimisho ya Kihistoria, Bali Mwanzo…
Mwaka Mpya wa Hijri unatujia tarehe 1 Muharram 1448 H, sawia na 16/06/2026 M. Hii…
Matendo ya Watu wa Ash-Sham Yanathibitisha Kwamba Wao Ndio Wamiliki…
Harakati maarufu katika majiji na miji kadhaa ya Syria, zinazojirudia kwa zaidi ya mnasaba mmoja…
Serikali ya Tunisia Itaendelea na Uzembe Wake Hadi Lini na…
Ghadhabu na hasira ziliongezeka nchini Tunisia wiki iliyopita kufuatia ajali nyingine mbaya, wakati huu katika…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Amali kwa Mnasaba wa…
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan iliandaa amali katika afisi yake ya Khartoum kusherehekea…
Hizb ut Tahrir / Malaysia: Hati ya Pingamizi kuhusu “KL…
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir Malaysia (HTM) uliwasilisha hati ya pingamizi kwa Wizara ya Mawasiliano…




