Kutoka Mgawanyiko hadi Umoja Kongamano la Khilafah 2026
Jumapili, 29 Rajab 1447 - 18 Januari 2026
Hizb ut Tahrir / Amerika ilifanya kwa mafanikio Kongamano lake la kila mwaka la Khilafah kama sehemu ya kampeni ya kimataifa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kufutwa kwa Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab, 1342 H. Kongamano hilo lilitumika kama wito kwa Waislamu kote duniani kutambua na kutimiza wajibu wa kuregesha mfumo kamili wa maisha wa Kiislamu, kama ulivyoamriwa na Mwenyezi Mungu (swt), kupitia kusimamisha tena Khilafah kwa njia ya Mtume wetu Muhammad (saw).
Hizb ut Tahrir / Tanzania Yafanya Semina kwa Mnasaba wa…
Katika kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah iliyotokea mnamo Rajab 1342…
IMESASISHWA: Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Amali kwa Mnasaba…
Angazo la amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia kwa mnasaba wa…
IMESASISHWA: Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan: Semina ya Kisiasa…
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah, Afisi ya Habari ya…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 583
Vichwa Vikuu vya Toleo 583
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…




