Kuwahamasisha Watu Wenye Azma ya Kutimiza Faradhi Yao ya Shariah
Jumapili, 5 Jumada I 1447 - 26 Oktoba 2025
Enyi ndugu na dada: tuna jukumu kubwa. Ni amana ya kueneza ujumbe wa Risaalah, kubeba Uislamu, na kusimamisha Uislamu kama mfumo kamili wa maisha kivitendo. Hili ni jukumu la Mitume (as) na urithi wa Mtume wetu mpendwa Muhammad (saw). Mwenyezi Mungu (swt) atatuuliza kuhusu kile tulichokabidhiwa, kwa hivyo tufanye kazi kwa ajili ya siku ambayo utajiri wala watoto hawatakuwa na faida yoyote, isipokuwa wale wanaomjia Mwenyezi Mungu (swt) kwa moyo safi.
Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari “Je, Unamjua Yeye ni Nani?!"
Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari “Je, Unamjua Yeye ni Nani?!"
Katikati ya Mashambulizi ya Marekani kwa ajili ya Kuhalalisha Mahusiano…
Kwa kuzingatia mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hili pamoja na mradi wa…
Mtu Anayehusika na Usalama wa Watu Anawezaje Kukimbia Akitafuta Usalama?!
Sudan News ilinukuu Darfur 24 katika ripoti moja yenye kichwa: “Kujiondoa kwa Uratibu au Kuanguka?!…
Uvamizi wa Waliolaaniwa Haukomi Je, kuna kiongozi anayeongozwa na…
Uvamizi dhidi ya Gaza unajirudia kama kile ambacho afisi ya mhalifu Netanyahu ilikiita “mashambulizi makali…
Himaya Yashambulia Gaza - Sami Hamdi na Kifo cha Upinzani
Baada ya umbile la Kizayuni kuifahamisha Marekani kuhusu uamuzi wake wa kuanza tena operesheni zake…




