Jumamosi, 06 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/23
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake… Mwachilieni Huru Naveed Butt!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya…

Ijumaa, 28 Dhu al-Qi'dah 1447 - 15 Mei 2026

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni ya mitandao ya kijamii, haswa kwenye mtandao wa X (zamani ikijulikana kama Twitter), yenye kichwa “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake... Mwachilieni Huru Naveed Butt!” Kampeni hii inalenga kuishinikiza serikali dhalimu ya Pakistan, ambayo huduma zao za siri zilimteka nyara Mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir nchini Pakistan, miaka 14 iliyopita mbele ya familia yake na majirani zake.

Afisi ya Habari

Kama Sehemu ya Kampeni ya “Waislamu Dhidi ya Uhalalishaji Mahusiano” Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Yafanya Msururu wa Ziara

Kama Sehemu ya Kampeni ya “Waislamu Dhidi ya Uhalalishaji Mahusiano” Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Yafanya Msururu wa Ziara

Jumatatu, 17 Dhu al-Qi'dah 1447 - 04 Mei 2026

Kwa kuzingatia mamlaka ya Lebanon kushiriki katika mazungumzo ya moja kwa moja ambayo hakika yatapelekea katika amani na uhalalishaji mahusiano na umbile nyakuzi na halifu la Kiyahudi, na kama sehemu ...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Dada Lamya bint Bashar

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Dada Lamya bint Bashar

Alhamisi, 13 Dhu al-Qi'dah 1447 - 30 Aprili 2026

Mnamo Jumatano tarehe 12 Dhu al-Qa‘dah 1447 H sawia na tarehe 28 Aprili 2026 M, dada mwema, mbebaji da’wah aliyefanya kazi kwa ajili ya kusimamisha Khilafah Rashidah ya pili kwa njia ya Utume, mwanach...

Matoleo

Trump Mtawala wa Kiimla na Mtoto wake, Umbile la Kizayuni, Wameanzisha Shambulizi la Kikatili dhidi ya Iran

Trump Mtawala wa Kiimla na Mtoto wake, Umbile la Kizayuni, Wameanzisha Shambulizi la Kikatili dhidi ya Iran

Jumamosi, 11 Ramadan 1447 - 28 Februari 2026

Amerika na umbile la Kiyahudi walizindua shambulizi kubwa la pamoja dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku milipuko ikitikisa mji mkuu, Tehran, na miji mingine kadhaa, ikiwemo Qom, Isfahan, Kermanshah, ...

Hofu Halisi ya Magharibi: Ulimwengu wa Kiislamu Ulioungana

Hofu Halisi ya Magharibi: Ulimwengu wa Kiislamu Ulioungana

Jumapili, 1 Rajab 1447 - 21 Disemba 2025

Katika mahojiano ya hivi karibuni ya Fox News na Sean Hannity, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alifufua usemi maarufu wa “Uislamu wenye msimamo mkali,” Khilafah inayopanuka, na vitisho ...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake… Mwachilieni Huru Naveed Butt!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake… Mwachilieni Huru Naveed Butt!”

Ijumaa, 28 Dhu al-Qi'dah 1447 - 15 Mei 2026

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni ya mitandao ya kijamii, haswa kwenye mtandao wa X (zamani ikijulikana kama Twitter), yenye kichwa “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kw...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Dua kwa Naveed Butt – Mwenyezi Mungu Amfungue Kifungo Mwake

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Dua kwa Naveed Butt – Mwenyezi Mungu Amfungue Kifungo Mwake

Jumatatu, 24 Dhu al-Qi'dah 1447 - 11 Mei 2026

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Dua kwa Naveed Butt – Mwenyezi Mungu Amfungue Kifungo Mwake ...

Hizb ut Tahrir / Malaysia: Kongamano la Khilafah — “Kurudisha Nguvu ya Kilimwengu ya Ummah”

Hizb ut Tahrir / Malaysia: Kongamano la Khilafah — “Kurudisha Nguvu ya Kilimwengu ya Ummah”

Jumapili, 23 Dhu al-Qi'dah 1447 - 10 Mei 2026

Mnamo Jumapili, 10 Mei 2026, Hizb ut-Tahrir / Malaysia ilifanya kongamano la Khilafah katika Ukumbi wa Mikutano wa Shah Alam, Malaysia, chini ya kichwa: “Kurudisha Nguvu ya Kilimwengu ya Ummah.” ...

Fursa ya Dhahabu Imo Mikononi Mwenu... Simamisheni Khilafah!

Fursa ya Dhahabu Imo Mikononi Mwenu... Simamisheni Khilafah!

Jumatano, 12 Dhu al-Qi'dah 1447 - 29 Aprili 2026

Enyi Majeshi ya Pakistan! Fursa ya dhahabu iko mikononi mwenu. Simamisheni Khilafah, unganisheni Mashariki ya Kati chini ya uongozi wenu, na ifukuzeni Amerika kutoka katika Ardhi za Waislamu. Ahadi ya...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu