Ni Dhambi Kubwa kwamba Gaza Haikukombolewa Au Umbile la Kiyahudi…
Jumapili, 20 Rabi' II 1447 - 12 Oktoba 2025
Serikali ya Misri ilitangaza kusherehekea utekelezwaji wa mpango wa Trump mjini Gaza. Sisi alimwalika Rais wa Marekani kusherehekea kwa sababu yeye ndiye mwanzilishi wa mpango wa Gaza: [Rais Trump wa Marekani alisema mnamo Alhamisi kwamba mateka waliosalia wanaoshikiliwa na Hamas katika Ukanda wa Gaza wataachiliwa huru mnamo Jumatatu au Jumanne ya wiki ijayo, na kwamba bado analenga kuzuru eneo hilo kusherehekea hafla hii... “Ni muhimu kutaja kuwa Rais Sisi wa Misri alikuwa amemwalika Trump kushiriki katika sherehe ambazo zitafanywa nchini Misri ili kuadhimisha kutiwa saini kwa makubaliano, akiyachukulia kuwa makubaliano ya kihistoria ambayo yanazifisha taji juhudi za Misri, Marekani, na...
Utumiaji kama Silaha wa “Chuki dhidi ya Mayahudi” kunyamazisha Nusra…
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na mijadala mingi nchini Uingereza ikiashiria kuwepo mafungano kati…
Kupokea Sifa kutoka kwa Rais Trump wa Marekani, Mkuu wa…
Rais Trump wa Marekani alisema kuwa rais Erdoğan anafanya juhudi kubwa kwa ajili ya makubaliano…
Machozi ya Furaha kwa Maadui wa Mwenyezi Mungu, Kushindwa na…
Aprili iliyopita, Baraza la Mawaziri la Cyprus Kaskazini lilitoa “amri ya kiserikali” ambayo inaruhusu wanafunzi…
Swala Zimesimamishwa jijini Dushanbe kwa sababu ya Ziara ya Putin
Kuanzia Oktoba 7 hadi 12, misikiti kadhaa jijini Dushanbe itasimamisha kwa muda swala za jamaa.…
DVD “Nasheed za Khilafah 1447 H - 2025 M”
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wanaozuru kurasa…