Amerika, Kutafuta Kuiondoa Darfur, Yaibua Suala la Abyei na Kutishia…
Alhamisi, 15 Jumada I 1447 - 06 Novemba 2025
Baada ya kutenganishwa kwa Sudan Kusini na kaskazini mwaka wa 2011, eneo la Abyei liliachwa na utata na kutokuwa la upande wowote — Kusini au Kaskazini — hakukutatuliwa, ilhali kura ya maoni ilitakiwa kufanyika Abyei mwaka wa 2011, sambamba na kura ya maoni ya Sudan Kusini, ili kubaini uhusiano wa eneo hilo na Kaskazini au Kusini, lakini kura ya maoni haikufanyika kwa sababu ya mzozo wa dola hizo mbili kuhusu nani ana haki ya kupiga kura katika kura ya maoni! Eneo hilo linakaliwa na makabila ambayo ni ya Kusini, yaani kabila la Dinka Ngok, na mengine ambayo ni ya Kaskazini,...
Je, Kukamatwa kwa El Fasher Ndio Mwisho wa Mpango, Au…
Sudan imeshuhudia mabadiliko makubwa katika vita vyake, ambavyo vimekuwa vikiendelea kwa zaidi ya miaka miwili,…
Dharau ya Amerika kwa Raia Wake Yenyewe Yawaacha Wanawake na…
SNAP (Programu ya Usaidizi wa Lishe ya Ziada) ni mpango wa shirikisho unaowasaidia watu binafsi,…
Ukumbusho kwa Waislamu kuhusu Utakatifu wa Muislamu: Damu Yake, Mali…
Vyombo vya habari vilisambaza habari za uhalifu wa kutisha uliotokea katika mji wa Al-Fashir nchini…
Afisi Kuu ya Habari: DVD “Kampeni ya Kimataifa - Vita…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuatiliaji na wanaozuru kurasa…
Mkuu wa Ujasusi wa Australia Azindua Ulinzi wa Kipumbavu kwa…
Mkurugenzi Mkuu wa ASIO, Mike Burgess, alitumia hotuba yake ya Taasisi ya Lowy jana kupanua…




