Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni “Katika Kumbukumbu ya…
Ijumaa, 28 Dhu al-Qi'dah 1447 - 15 Mei 2026
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni ya mitandao ya kijamii, haswa kwenye mtandao wa X (zamani ikijulikana kama Twitter), yenye kichwa “Katika Kumbukumbu ya Miaka 14 ya Kutekwa Nyara Kwake... Mwachilieni Huru Naveed Butt!” Kampeni hii inalenga kuishinikiza serikali dhalimu ya Pakistan, ambayo huduma zao za siri zilimteka nyara Mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir nchini Pakistan, miaka 14 iliyopita mbele ya familia yake na majirani zake.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Dua kwa Naveed Butt…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Dua kwa Naveed Butt – Mwenyezi Mungu Amfungue Kifungo…
Hizb ut Tahrir / Malaysia: Kongamano la Khilafah — “Kurudisha…
Mnamo Jumapili, 10 Mei 2026, Hizb ut-Tahrir / Malaysia ilifanya kongamano la Khilafah katika Ukumbi…
Fursa ya Dhahabu Imo Mikononi Mwenu... Simamisheni Khilafah!
Enyi Majeshi ya Pakistan! Fursa ya dhahabu iko mikononi mwenu. Simamisheni Khilafah, unganisheni Mashariki ya…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 600
Vichwa Vikuu vya Toleo 600
Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake “Iokoeni Masra!”
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: “Iokoeni Masra!”




