Uhalalishaji Mahusiano na Utawala wa Assad ni Kushirikiana Nao katika Uhalifu Wake
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika jibu lake kwa swali: Iwapo Rais Erdogan angekutana na Bashar al-Assad, Waziri wa Mambo ya Nje Mevlut Cavusoglu alijibu: “Hakuna mawasiliano hayo kwa sasa...Kwa muda mrefu, Putin na maafisa wa Urusi walitaka mkutano kati ya Assad na rais wetu.