Hizb ut Tahrir / Denmark: Kisimamo cha Kulaani Mateso ya Umwagaji Damu ya India Dhidi ya Waislamu na Unafiki wa Serikali ya Denmark!
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa kisimamo mbele ya Bunge la Denmark katika uwanja wa Christiansborg Castle Square cha kulaani mateso ya umwagaji damu ya India dhidi ya Waislamu na unafiki wa serikali ya Denmark.