Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 399
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Juzi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jordan alitangaza matokeo ya uchunguzi wa tukio la Aqaba, ambapo watu 13 walikufa, Jumatatu iliyopita, Juni 27, 2022, kutokana na kuvuja kwa gesi yenye sumu ya chlorine baada ya meli ya mafuta kuanguka katika moja ya bandari za Akaba na kulipuka,
Matembezi ya Takbira na Tahlil katika Mji wa Soran.
Hivi majuzi, Benki Kuu ya Pakistan (SBP) ilipandisha viwango vya riba hadi 15% katika hatua ya kuzuia mfumko wa bei.
Gazeti la kila siku la Al-Thawra, linalochapishwa jijini Sana'a, liliripoti habari ya kuwasili kwa balozi wa Marekani nchini Yemen, Stephen Magen, kutoka Jeddah hadi Hadramout, na mkutano wake na viongozi wa eneo hilo.
Hivi karibuni serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ilitangaza kikokotoo kipya kwa ajili ya wastaafu ambacho kitaanza kutumika mwezi wa saba (Julai) mwaka huu 2022.
Kuhuisha Sunnah ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika siku kumi za mwanzo za Dhul-Hijjah.
Matembezi ya Takbira na Tahlil katika Mji wa Idlib.
Waislamu wameghadhabishwa kwamba uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Sheria ya Majimbo wa kuondoa riba kutoka kwa uchumi wa Pakistan kwa mara nyingine tena umepingwa katika Mahakama ya Upeo, ambako kesi hiyo ilikuwa inasubiri uhakiki kwa miaka ishirini tayari.
Kuhuisha Sunnah ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika siku kumi za mwanzo za Dhul-Hijjah.