Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Enyi Waislamu! Bali Enyi Majeshi ya Waislamu! Hakika Sisi Tunataka Mtunusuru. Hakika Adui Wenu Trump Amedhihirisha Meno Yake, Basi Panga Zenu Zivunje Meno yake.

(Imetafsiriwa)

Usiku huu, katika mkutano uliowakusanya Trump na Netanyahu huko Washington, Trump alizitupa chuki zake zote kwa Waislamu na kwa Quds ya Palestina huku Netanyahu, washirika na wafuasi wakipiga makofi... Asema Trump hakika yeye ameandaa mpango utakaowagawa Mayahudi na Wapalestina kwa uadilifu!  Na kihakika ni kama anasema: Palestina yote ni ya Mayahudi, na watu wa Palestina wanayo Palestina isipokua yote: Quds yote ni ya Mayahudi, makazi na Nablus na kilicho pambizoni mwake, mabonde ya Jordan na mapito yake ya maji, kisha Wapalestina watafanya mazungumzo na Mayahudi kwa kilichobakia kanakwamba kuna kilichobakia! Na Trump anasema hii ni fursa kwa Wapalestina tangu miaka sabini kupewa nafasi ya kupata dola ndani ya Palestina! Akaongezea kwa kusema kua alijumuika na Saudi Arabia mwanzoni mwa muhula wake pamoja na watawala hamsini na tano katika Ulimwengu wa Waislamu na wakafahamikiana naye! Kisha akaiahidi Palestina kupata msaada wa mali ya Dola bilioni hamsini baada ya kutekeleza mpango wake! Kisha ulimi wake ukatamka kuwa Khilafah imekufa, Mwenyezi Mungu aufishe ulimi wake.

Hakika hii hafla ya hotuba aliyoitoa Trump katika uzinduzi wa mpango wake, pamoja na haya maneno ya ugonjwa aliyopayuka, yamedhihirisha kuwa yeye ni Yahudi mnyakuzi kwa Palestina kuliko Mayahudi wenyewe. Asingeweza kuyatamka haya lau sio khiyana ya watawala katika miji ya Waislamu kwa Dini yao, Ummah wao na ardhi zao! Trump ayafanya haya kanakwamba Palestina ni milki yake anaigawa atakavyo na wao (watawala) ni viziwi, mabubu na vipofu wamenyamaza wala hawana akili. Baya zaidi wapo miongoni mwao waliohudhuria hafla hiyo ovu! Trump ana matumaini kuwa hao hawatopinga bali huenda wanafurahikia! Kisha Trump anazidi katika upotofu... Hakika Trump anapima mambo kwa kuona udhalili wa watawala hawa, kanakwamba dunia imesimama kwa viti vyao vilivyokombo na kwamba watadumu na kumtakasa yeye na kumhimidi, kisha Palestina na Quds zitabakia katika twaa yake kwa kutengenezea mpango kwa uzushi wake au kuiuza kwa dolari zake! Hakika watawala hawa ni madhalili kwa Waislamu juu ya kuweza kubakia katika hali yao hio na masiku yanazunguka. Huenda Trump akajua kua Quds iliwahi kuchafuliwa na Masalabiyina kwa miaka kisha akaisafisha Salahudin kutokana nao na Waislamu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu hawatokosa Salah (aliyeongoka) mwengine.... Waweze kuhakikisha kwa nguvu zao bishara ya Mtume (saw) kwa kumaliza umbile la Kiyahudi na wale wanaowasaidia kukimbia katika makao yao. Hii ni ikiwa yatabakia makao yao.

Ama Khilafah ambayo Trump alisema imekufa anajichanga mwenyewe kwani hapana shaka anajua kuwa ile sio Khilafah aliyoibashiria Mtume (saw)... Bali Khilafah itasimama kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu kupitia nguvu za wanaume, na kama ilivyotimia bishara ya Mtume (saw) ya Ukombozi wa Konstantinopoli kupitia nguvu ya Muhammad al-Fatih na jeshi lake, basi kadhalika itatimia bishara ya Mtume (saw) kwa kupigwa Mayahudi kupitia nguvu ya Jeshi la Kiislamu. Imetajwa katika Sahih Muslim kutoka kwa Abu Hurairah (ra) kwamba Mtume (saw) alisema: "Hakitosimama Kiyama mpaka Waislamu wawapige vita Mayahudi Na Waislamu watawauwa". Kisha umbile lililovamia Palestina litaondolewa na ardhi tukufu itasafishwa kutokana na uchafu wao na kuirudisha Palestina katika Darul Islam, kwani Ummah wa Kiislamu ni Ummah ulio hai haulali kutokana na idhilali. Japo atadhani Trump na mfuasi wake Netanyahu na wafuasi wao kuwa hili jambo halitokua na kwamba watawala wa Waislamu wataendelea kubakia na kwamba Khilafah haitorudi. Mkidhania hivyo basi dhana yenu itawaangamiza.

وَذَلِكُمْ ظَنُّكُمُ الَّذِي ظَنَنْتُمْ بِرَبِّكُمْ أَرْدَاكُمْ فَأَصْبَحْتُمْ مِنَ الْخَاسِرِينَ﴿

"Basi hiyo dhana yenu mliyo kuwa mkimdhania Mola wenu Mlezi. Imekuangamizeni; na mmekuwa miongoni mwa walio khasiri."  [Fussilat: 23], Na huenda Trump kabla ya kumalizika utawala wake atamuona Khalifah wa Uislamu na Waislamu, na khofu ya majeshi ya Kiislamu imuuwe wakati huo kabla hajaingia nao vitani.

وَلَتَعۡلَمُنَّ نَبَأَهُۥ بَعۡدَ حِینِۭ﴿

"Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda" [Sad: 88]

Enyi Waislamu! Enyi Majeshi ya Waislamu! Hakika Trump amedhihirisha meno yake na akatengeneza mpango wake muovu ili kulisadia umbile la Kiyahudi na kulimakinisha kuitafuna Palestina yote... Hivyo basi, majibu ya uovu huo yapasa iwe kwa kuvunja meno ya Trump na hilo ni kwa kuondoa umbile la Kiyahudi ovu na kuirudisha Palestina yote kamili katika Darul Islam... Kwa hiyo majibu yasiwe kwa mpango wa Trump kupitia watawala waliopo. Na pia majibu yasiwe kwa mpango wa Trump na kutosheka kwa kuwazuia wavamizi ndani ya West Bank na Ghaza namna litakavyokua jambo hili. Na kauli kua Palestina ni suala la Wapalestina tu peke yao ni kauli ya kuipoteza Palestina kutoka mikononi mwa watu wake bali hili ni suala la Waarabu wote na kishari’ah Waislamu wote... Kadhalika majibu yasiwe kwa miito hata kama miito hiyo itakua moto kiasi gani. Miito iliyozoeleka kwa Waislamu ni wakati wa kuondoka jeshi kwa ajili ya Jihad hapo yamkinika iwe miito ni kwa ajili ya kuwashajiisha na  kuwasifu… Na hivyo basi yote hayo hayawezi kumaliza umbile la Kiyahudi na kisha halitokua jibu litakalokata mizizi ya uovu. Bali majibu yanatakiwa kwa madola yanayoharakisha majeshi yake kwa ajili ya kung'oa mizizi ya umbile la Kiyahudi kwani Mayahudi wameinyakua Palestina na wakaanzisha dola yao na wakasaidiwa katika hilo kwa kushirikiana na watawala wasaliti katika ardhi za Waislamu Kwa hiyo halitong'olewa umbile la Kiyahudi ila kupitia dola itakayoharakisha Jeshi litakalolishinda na kuling'oa... Kwa hiyo majibu ya lazima ni moja kati ya mambo mawili au yote mawili:

Kwanza: Kuanza kazi kwa bidii ili kurudisha maisha ya Kiislamu kwa kusimamisha Khilafah itakayoharakisha jeshi la Waislamu ili liwapige Mayahudi na kuondoa umbile lao na kuirudisha Palestina yote katika ardhi ya Uislamu.

Ama jambo la pili, ambayo ni katika hali halisi yetu leo ambapo Khilafah haipo, hakika kuwapiga vita Makafiri hususan waliovamia ardhi zetu halisimami kwa kuwepo kwa Khilafah au kutokuwepo. Kwa kuongozea kuwapiga vita Makafiri ni Wajibu sawa iwe mtawala ni Khalifah Muislamu au mtawala Muislamu ambaye hahukumu na Uislamu. Jambo la wajibu kwa majeshi ya Waislamu ni kuchangamka kwa ajili ya kuwapiga vita Mayahudi na kuondoa umbile lao chafu na kuirudisha Palestina katika ardhi ya Uislamu. Mtawala akikubali kuharakisha jeshi itakua amefanya uzuri na akijaribu kuzuia jeshi lisiende vitani na kupinga basi apatikane katika jeshi Salahuddin atakayemkanyaga huyo mtawala kwa miguu yake na kuondoka na jeshi ili asafishe ardhi yenye baraka kutokana na uchafu wa Mayahudi kama alivyotwahirisha hapo mwanzo Salahuddin kutokana na uchafu wa Masalabiyina...

Haya ndio majibu ambayo yapasa yawe, ambaye anakasirika na mpango wa Trump au kupinga na kuwa na chuki na umbile la Kiyahudi, anataka kuondoa umbile lao na kuirudisha Palestina katika ardhi ya Uislamu basi hiyo ndiyo njia iliyowazi ajilazimu kufanya kazi bila ya kuchoka kwa ukweli na ikhlas huku anamtegemea Mwenyezi Mungu (swt), mwenye Nguvu, Aliyetukuka kwa Uwezo

 لِمِثۡلِ هَـٰذَا فَلۡیَعۡمَلِ ٱلۡعَـٰمِلُونَ﴿

"Kwa mfano wa haya nawatende watendao" [As-Saffat: 61]

Kwa kutamatisha, Hizb ut Tahrir imewawekea wazi vipi namna ya kujibu mpango usiokuwa na maana wa Trump, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Hivyo basi, Hizb inawalingania Waislamu na majeshi ya Waislamu:

Ama Waislamu tunawalingania kuchukua yale tuliyoyataja hapo juu kuyachukua kiukweli, basi fanyeni kazi pamoja na sisi kwa bidii na jitihada kwa ukweli na ikhlas ili kuhakikisha tunatimiza ahadi ya Mwenyezi Mungu (swt), ya Khilafah

وَعَدَ ٱللَّهُ ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ مِنكُمۡ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ لَیَسۡتَخۡلِفَنَّهُمۡ فِی ٱلۡأَرۡضِ﴿

"Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa katika ardhi" [An-Nur: 55], na kutimiza bishara ya Mtume (saw) ya kurudi kwa Khilafah ya Uongofu baada ya utawala wa ukandamizaji ambao tunaishi ndani yake kama alivyopokea Ahmad katika Musnad yake kutoka kwa Hudhaifah (ra) kwamba Mtume (saw) alisema:

«ثُمَّ تَكُونُ مُلْكاً جَبْرِيَّةً فَتَكُونُ مَا شَاءَ اللَّهُ أَنْ تَكُونَ ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ أَنْ يَرْفَعَهَا ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةً عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ»

"Kisha utakuja utawala wa ukandamizaji na utakuwepo kwa muda atakao Mwenyezi Mungu. Na kisha Mwenyezi Mungu Atauondosha Atakapo, kisha itakuja Khilafah kwa Njia ya Utume"

Ama majeshi ya Waislamu tunawalingania kuyashika yale tuliyoyataja hapo mbeleni kwa meno ya nyuta zenu na kadhalika tunawataka Nussrah (msaada) ili kubadilisha tawala zilizowekwa katika ardhi za Waislamu na kusimamisha Dola ya Uongofu ya Khilafah kwa Njia ya Utume ili iweze kurudisha utukufu wa Waislamu, nguvu zao na ulinzi wa ardhi zao… Kwa hiyo kuweni kama Maanswar ambao walimnusuru Mwenyezi Mungu (swt) na Mtume wake (saw), kiasi kwamba Mwenyezi Mungu akawasifu katika aya Zake na malaika wakawania kusindikiza jeneza la bwana wao, Sa’ad bin Muadh ambaye Mwenyezi Mungu alikuwa radhi naye na akamridhia wakati wa kifo chake... Imepokewa kutoka kwa Tirmidhi kutoka kwa Anas Bin Malik (ra) kwamba Mtume (saw) alisema kuhusu jeneza la Sa’ad bin Muadh:

«إِنَّ الْمَلَائِكَةَ  كَانَتْ تَحْمِلُهُ»

Hakika malaika walikua wakimbeba.”

Kheri ni kwa Maanswari na atakayefuata njia yao Mwenyezi Mungu (swt) awaridhie wote.

هَـٰذَا بَلَـٰغ لِّلنَّاسِ وَلِیُنذَرُوا۟ بِهِۦ وَلِیَعۡلَمُوۤا۟ أَنَّمَا هُوَ إِلَـٰه وَٰحِد وَلِیَذَّكَّرَ أُو۟لُوا۟ ٱلۡأَلۡبَـٰبِ﴿

"Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa hakika Yeye ni Mungu Mmoja, na wapate kukumbuka wenye akili" [Ibrahim: 52]

 

H. 1 Jumada II 1441
M. : Jumatano, 29 Januari 2020

Hizb-ut-Tahrir

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.