Bendera Yetu ni Bendera ya Mtume Muhammad (saw)!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mradi wa kubadilisha muonekano wa bendera ya kitaifa unajadiliwa kwa nguvu nchini Kyrgyzstan. Kwa masikitiko yetu makubwa, wale walioko madarakani wangali wanajadili sio kwa msingi wa Kiislamu na sio juu ya swali la ima kurudisha Uislamu au la.