Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kampeni kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Khilafah
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika mwezi wa Rajab Tukufu ya mwaka huu wa 1444 H Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon imezindua kampeni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 Hijria ya kuvunjwa Khilafah kwa kichwa:
“Hali Ingekuwaje Kwetu lau Tungekuwa na Khilafah na Khalifa!?