Vichwa vya Habari: 11/01/2023
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jumuiya ya kimataifa imeahidi zaidi ya dolari bilioni 9 kusaidia Pakistan kujijenga upya baada ya mafuriko makubwa ya kiangazi mwaka jana, yaliyoelezwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kama "monsuni ya maafa."