Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Uingereza: Ujumbe kwa Ubalozi wa Pakistan Kutaka wa Kuachiliwa Huru kwa Naveed Butt!

Zaidi ya miaka tisa imepita tangu serikali nchini Pakistan imteke nyara mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan, na tangu alipotekwa nyara haijulikani alipo!

Katika suala hili, Hizb ut Tahrir nchini Uingereza ilituma ujumbe kwa Ubalozi wa Pakistan jijini London kutaka kuachiliwa huru mara moja kwa mhandisi aliyetekwa nyara kiholela na kihalifu, Naveed Butt, kwa kutaka kwake kurudisha maisha kamili ya Kiislamu na kubeba kwake da'wah kwa kufuata njia ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).

Jumamosi, 17 Shawwal 1442 H sawia na 29 Mei 2021 M

#FreeNaveedButt 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu