Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Minbar ya Umma: Kisimamo cha Mji wa Kafra cha Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)

Halaiki ya watu wa mji wa Kafra viungani mwa Aleppo Kaskazini ilijitokeza katika kisimamo cha kulaani cha kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).

Ijumaa, 13 Rabi al-Awwal 1442 H sawia na 30 Oktoba 2020 M

Kumbuka: "Minbar ya Ummah" ni kituo maalumu kinachopeperusha rekodi zilizochaguliwa za Khilafah zilizoandaliwa na watoto wa Ummah wetu. Rekodi hizo hazikutolewa na Hizb ut Tahrir au vitengo vyake rasmi; bali ni rekodi kutoka kwa watoto wa Ummah wa Kiislamu; ambazo zinapeperushwa katika tovuti yetu ili kueneza kheri kwa ajili ya Uislamu na Waislamu.

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.