Alhamisi, 09 Shawwal 1445 | 2024/04/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan:

Kuzika Yaliyopita?! Usalimisha Rasmi wa Kashmir Kirasmi Unakataliwa!

Kuhusiana na Kashmir Iliyokaliwa, mnamo tarehe 18/3/2021, Jenerali Bajwa alisema, “Nahisi kwamba sasa ni wakati wa kuzika yaliyopita na kusonga mbele”.

Hata hivyo, azimio la amani la Kashmiri Iliyokaliwa kamwe halitatokea kupitia ubadilishanaji na India. Ardhi za Kashmir ni Ardhi za Kiislamu, zilizokombolewa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt) kwa damu tukufu za mashahidi na Wapiganaji Jihad wetu.

Dola ya Kibaniani inapigana vita dhidi ya Waislamu ambao tayari wapo kikamilifu chini ya mamlaka yao kamil…

…huku wakitosaza hata chembe ya uovu ili kuendeleza madhara kwa Waislam walio nje ya mamlaka yake.

Amri ya Mwenyezi Mungu (swt) ni kupigana kwa ajili ya ukombozi wa Ardhi za Kiislamu zinazokaliwa.

Mwenyezi Mungu (swt) ameamrisha;

وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ ثَقِفْتُمُوهُمْ وَأَخْرِجُوهُمْ مِنْ حَيْثُ أَخْرَجُوكُمْ وَالْفِتْنَةُ أَشَدُّ مِنْ الْقَتْلِ))

“Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitna ni mbaya zaidi kuliko kuuwa” [Al-Baqarah 2:191]

Hakika, Jeshi la Pakistan lina uwezo kamili wa kuikomboa Kashmir Iliyokaliwa, chini ya Khalifah Muongofu.

Simamisha Khilafah sasa kwa ajili ya hatua madhubuti.

Jumatatu, 23 Shaaban 1442 H – 05 Aprili, 2021 M

 #BuryingKashmirIsRejected
#KhilafahLiberatesKashmir

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu